Msaada: Ada ya shahada ya Uzamili

mitigator

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,133
Reaction score
7,064
Ndugu wanaJF na wadau wa elimu kwa ujumla naomba mchango wa ada. Natarajia kujiunga na masters at Mzumbe university early in October. Sina kadi bali joining instruction na fees structure.

Kutoa ni moyo wala si utajiri
 
Ukiwa unaomba msaada jipange.
hiyo Ada ni sh ngapi.......?.......na nini kitatushawishi tukuchangie na tusikuone tapeli..........?
 
mkuu umejieleza bila kujitosheleza jazia basi tujue wapi pa kusaidiana.kwa mfano
ada sh......
au pesa ya fomu sh....? pengine tukakupa mdhamini pia.
 
mkuu umejieleza bila kujitosheleza jazia basi tujue wapi pa kusaidiana.kwa mfano
ada sh......
au pesa ya fomu sh....? pengine tukakupa mdhamini pia.
ada ni milion nne point seven mkuu....chuo mzumbe university.
 
Ukiwa unaomba msaada jipange..........
hiyo Ada ni sh ngapi.......?.......na nini kitatushawishi tukuchangie na tusikuone tapeli..........?...........
Sio rahisi kutapeli mkuu,document za kujiunga na chuo zipo au mwenye heri anaweza kunisaidia kwa kulipa moja kwa moja chuon.
 
Wapendwa wenzangu mawasiliano yapo wazi kwa mtu atakayeguswa kunichangia aidha chuo au ya kwangu binafsi.karibun sana ndugu zangu wanaJF.
 
mkuu wenye nia njema watakusaidia kama tunaweza changiana harusi nafikiri hili la elimu litawezekana
 
Kwa Tanzania level ya masters (uzamili) inachkuliwa km ni ufahari na ndio maana hata serikali haitoi udhamini! Kwa hapa JF kupata uwezekano wa kupata msaada ni mdogo sana.
Ushauri wangu ni kwamba usikimbilie kusoma masters, Tafuta kwanza ajira yyt, weka hela Kidogo kidogo na baadae uweze kujisomesha mwenyewe!

Sometimes kuomba omba nako ni km kujidhalilisha!
 
Sasa unaenda kusoma masters utarajiwe uchangiwe tena na mtu usiemjue! Acha kuendekeza umaskini, tafuta kazi au kibarua weka mambo yako sawa then ujiaomeshe mwenyewe
Ss elim yako imekusaidia so far, kama Bado na degree yako unapitisha bakuli
 
Elimu ya jui yaani post graduate ni starehe kwa hiyo kama unajua huna uwezo acha kusoma, ni sawa unajua huna uwezo wa kwenda kwenye starehe acha kwenda usiende kusumbua raia.

Elimu ya chini yaani graduate ndio elimu ya msingi, hiyo ukiomba msaada mtu anakuelewa, sasa kama uko graduate mambo mengine jiongeze mwenyewe.
 
1.Tunachangia harusi tu. Hayo mengine ni jukumu lako mwenyewe.
2. Tunachangia wasio jua kusoma wajue kusoma, sio nyie mnaotaka kujaza mivyeti isiyo na tija kwa taifa wala familia.
 
Nenda kasome badae uje kuwalipa hela yao...
Sisi tunakusanya hela za uchaguzi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…