msaada afanyeje ili kuongeza sperm count anazo milioni 15!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
kuna jirani yangu ameniomba ushauri kuwa yapata mwaka mmoja sasa ameoa ila hawajajariwa kupata mtoto,ndio juzi akaenda hospital akafanyiwa sperm analyiss,ikaonekana total sperm count yake ni milioni 15!na akaambiwa kuwa ili kuwa na uwezo wa kupatisha mimba ni lazima zisipungue milioni 20.mtu wa maabara ndiye alimpa majibu hayo,kwani dr,aliyemwambia akafanye vipimo hivyo amesafiri,Ndiyo nikamwambia ngoja nikawaulize wataalaam wa JF,tunaweza kupata wapi pa kuanzia.Labda kuna vyakula anatakiwa awe anakula sana au atumie dawa gani.
 
nafikiri si jibu kamili. lazima aanglie viscosity, maumbile ya sperms(morphology), movements (kinetic),quantity, bacteri na mengineyo mengi. asimuamini huyo mtu wa maabara. kazi yake ni kutoa report kwa dactari ambaye ndie anaweza kuianalyze ile report. na kama kuna vitu mtu wa maabara hakufanya inabidi dr amwambie kurudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…