Msaada: Agency number ya ubalozi wa china tanzanai

Triple G

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
3,018
Reaction score
4,369
Natumaini mu wazima wa afya wana Jf,

Jamani nilikuwa naomba msaada wa agency number ya ubalozi wa china nchini Tanzania kwani nafanya application ya scholaship kwa online sasa siwezi kuendelea kama sitaweka agency number.Najua humu wapo wat mbalimbali ambao wanaweza kunisaidia kufanikisha lengo.Nitashukuru kwa msaada wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…