K kajansi JF-Expert Member Joined Sep 19, 2012 Posts 485 Reaction score 222 Jan 7, 2014 #1 Jamani tutibiwa hadi lini? nimejiunga kwenye bundle ya airtel ya sh. 600 kwa siku lakini ndani ya masaa 12 wamenikatia huduma wakati hata sikusurf!!! Duh! sasa nauliza siku maana yake ni masaa mangapi kwa airtel?
Jamani tutibiwa hadi lini? nimejiunga kwenye bundle ya airtel ya sh. 600 kwa siku lakini ndani ya masaa 12 wamenikatia huduma wakati hata sikusurf!!! Duh! sasa nauliza siku maana yake ni masaa mangapi kwa airtel?