Singa Singa
Member
- Dec 12, 2014
- 47
- 46
Habari zenu wakuu.
Ki afya siko vizuri kabisa toka juzi nilizidisha kilevi nikaenda kulala nimeamka jana kila nikipiga hatua miguu inauma hatari kwenye maeneo ya mapaja ndio usiseme hatua 5 sitembei na kwenye Taya (Mdomo) ndio usiseme.
Kuna Dispensary nimeenda nesi akaniambia ni Aleji ya Pombe.
Nimechoka
Ki afya siko vizuri kabisa toka juzi nilizidisha kilevi nikaenda kulala nimeamka jana kila nikipiga hatua miguu inauma hatari kwenye maeneo ya mapaja ndio usiseme hatua 5 sitembei na kwenye Taya (Mdomo) ndio usiseme.
Kuna Dispensary nimeenda nesi akaniambia ni Aleji ya Pombe.
Nimechoka