Habari zenu wakuu.
Ki afya siko vizuri kabisa toka juzi nilizidisha kilevi nikaenda kulala nimeamka jana kila nikipiga hatua miguu inauma hatari kwenye maeneo ya mapaja ndio usiseme hatua 5 sitembei na kwenye Taya (Mdomo) ndio usiseme.
Kuna Dispensary nimeenda nesi akaniambia ni Aleji ya Pombe.
Nimechoka