Msaada: Aliyewahi kuchukua simu za mkopo kutoka Airtel

Msaada: Aliyewahi kuchukua simu za mkopo kutoka Airtel

MOONFISH

Senior Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
135
Reaction score
268
Habari wakuu,

Nimeona matangazo mengi sana kuhusu simu za mkopo nilikuwa nina mpango wa kumchukulia mtu aweze kutumia.

Sasa swali langu kama kuna mtu yoyote alishawahii kuchukua na akawa analipa mdogo mdogo anipe ABC, simu nayotaka ni samsung A04e.

Mfano ukachelewesha malipo siku mbili inakuwaje, ubora wake uko kama simu za kawaida?
 
Tafuta hela nunua cash.
Imagine simu ya 400.000 unakuja kulipia 640,000 + kianzio 70,000
Nimeangalia simu zenyewe ni utapeli unaendelea. Ukipiga hesabu mpk unamaliza kulipa deni una simu moja kali sana
 
MOONFISH wewe piga tathimini zako kianzio 75000 kisha kila siku 1000 hadi mwaka uishe hakikisha mipango ipo sawa kama unalipa kwa awamu (kabla mfano 30000 kabla ya mwezi kuanza) simu ni nzuri hazina shida kabisa kwa matumizi ya wastani...
 
Back
Top Bottom