Msaada aliyewahi kufanya usaili kwenye nafasi hizi

Msaada aliyewahi kufanya usaili kwenye nafasi hizi

Joined
Aug 2, 2019
Posts
5
Reaction score
3
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
 
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Naweka kambi hapa
 
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Naweka kambi hapa
Mmeishakuwa shortlisted for interview kwa izo posts ?
 
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Naaaam naaam
 
Apo jiandae kisaikolojia kila coner maan hzo mara nying sio professional ndo maan qualifications zake kuna hadi watu wa agriculture, education ko inabdi ubase kweny duties and responsibilities the inabdi uielewe vizuri hyo taasisi kiundani zaidi kule hamna connection ukisoma vizuri mbn unatoboa vizur 2 kikubwa uwe shortlisted
 
Hivi kwa mfumo wa ajira Portal, maombi yakishapokelewa (Received status) probability ya kuitwa written interview inakuwa kama asilimia ngapi? Wazoefu msaada wenu unahitajika hapa'
 
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Hivi hizi si ndo walikua wanahitaji watu 4 admission na 3 quality assuarance? 🤔🤔
 
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Quality Assurance Nactvet wamesha itwa kwami
 
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu

Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:

1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)

Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Mkuu, Naomba kama una lile tangazo la Editor ii (TIE)
 
Msaada hapo, mwenye interview ya editor II,possible questions nipate Ili nijiandae
 
Back
Top Bottom