umurumaithaa
Member
- May 9, 2015
- 70
- 8
Habari zenu ndugu zanguni, natumai ni wazima,
Nina ndugu yangu alikua na Malaria lakini kabla ya kwenda kucheki alikua anajiskia vibaya (kichefuchefu kizunguzungu) tukahofia isije ikawa mimba. Siku tuliyoenda kucheki Malaria, tulinunua na kifaa cha mimba.
Malaria kakutwa nayo 3, mimba hakuwa nayo na siku hiyo hiyo alipata siku zake japo alichelewa (kavuta sana toka tarehe 20 mpaka 25 ndo kapata).
Sasa shida ipo hapa; toka amalize dose ya Malaria bado anasikia kichefuchefu, kula hawezi na sometimes kizunguzungu, moyo kwenda mbio, hataki kusikia harufu ya mafuta ya kunukia na jana maziwa yake yalikua yanatoa maziwa na kumuuma.
Naombeni msaaada, samahani kwa maelezo marefu.
Shukrani
Nina ndugu yangu alikua na Malaria lakini kabla ya kwenda kucheki alikua anajiskia vibaya (kichefuchefu kizunguzungu) tukahofia isije ikawa mimba. Siku tuliyoenda kucheki Malaria, tulinunua na kifaa cha mimba.
Malaria kakutwa nayo 3, mimba hakuwa nayo na siku hiyo hiyo alipata siku zake japo alichelewa (kavuta sana toka tarehe 20 mpaka 25 ndo kapata).
Sasa shida ipo hapa; toka amalize dose ya Malaria bado anasikia kichefuchefu, kula hawezi na sometimes kizunguzungu, moyo kwenda mbio, hataki kusikia harufu ya mafuta ya kunukia na jana maziwa yake yalikua yanatoa maziwa na kumuuma.
Naombeni msaaada, samahani kwa maelezo marefu.
Shukrani