Mwanamke akisema huyu sio mtoto wako chapa lapa, huo ndo ukweli,mambo yakufanana kuna watu wanafanana sana na watu wengine but hawana hata chembe za vinasaba vya undugu
Narudi kijijini
Hapana sio kweli ,,, mwanamke mwingine atakuambia ivo kwasababu kuna kitu ulichomtendea ,,either ulikataa mimba ,,sasa ndo unajileta ,,au hukumjali kabisaa ,,au ulikua una wanawake wengi .
Mwanamke nikiumbe Royal sana yaan unavomuishi ndivo atakavoishi ... Hawa watu wanauchungu sana na huwa ngumu mno kuuza dam yamtu unless umemfanyia mambo hayo juu nilotaja..
Tuseme Kwa kesi hii ya mkuu ,, either kweli mtoto niwake ila mschana for her own purpose ameamua kumzengua ( ndo maana haishi kusema nataman ningezaa naww ).
Lkn pia ikawa kweli mtoto sio wako mkuu ,,ila alichepuka kidogo kumbe siku kachepuka ndio yenyewe , tatizo iyo siku alochepuka ,mkuu ulikua umemnunia sana wiki nzima anakubembeleza matokeo yako kakatokea kashikaji within 2 days tayar ( saa nyingine wanawake akili zenu mnazijua wenyewe ).