Msaada anaejua dawa ya korodani

kibega

Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Poleni kwa majukumu wakuu.

Ninasumbulilwa na korodani ya upande wakulia huwa inaniuma hata kwa kuishika najisikia maumivu
Nilipokuwa mdogo ilivimba nikapewa dawa za hospital ikarudi haliyake yakawaida

MSAADA ANAYEJUA DAWA YA HILOTATIZO.
 
Watanzania bhana!Hadi ugonjwa ufike hatua ya kutokutibika tena ndiyo uende hospitali!!
 
Bro nenda hospital.. Ngoma ikidunda tafuta tiba mbadala
 
Mkuu pole sana. hilo tatzo hospital hadi livimbe kbs ndo unachomwa sindano au ikibana sana inabidi ifanyike operation ndogo. ushauri nenda kwenye maduka ya mbadala haswa (miti shamba) watakusaidia sana
 
Poleni kwa majukumu wakuu
Ninasumbulilwa na korodani ya upande wakulia huwa inaniuma hata kwa kuishika najisikia maumivu
Nilipokuwa mdogo ilivimba nikapewa dawa za hospital ikarudi haliyake yakawaida
MSAADA ANAYEJUA DAWA YA HILOTATIZO.
bbade
 
Hii kitu ilinipata liivimba nikachomwa sindano.. Lakini maumivu bado yapo kidogo
 
0623953036 nicheki whatsapp nkutumie picha ya dawa ya kupaka ambayo ilishanisaidia pia
 
Kiuswazi tunaita Ngili.
Kizungu wanaita Enia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…