Msaada anaejua dawa ya meno ya ALOE VERA AirSun inapatikana wapi anijuze

Msaada anaejua dawa ya meno ya ALOE VERA AirSun inapatikana wapi anijuze

mbalaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
2,240
Reaction score
2,629
Wakuu anae jua dawa ya meno ya ALOE VERA AirSun inapatikana wapi anijuze.

DONDOO:
Toka mfungo wa Ramadhani ulipoingia, nielienda kujumuhika na familia yangu kijijini japo sikuwa nimefunga.

Kwenye geto la dogo nilikuta kuna hiyo dawa ya meno(aloe vera airsun), ndio nimeitumia kwa kipindi chote nilipokuwa uko kijijini.

Wakati ninaondoka nilinukuu jina la hii dawa kwa maana kwamba nikifika town(kwangu) niinunue Coz nimetokea kuipenda kinoma.

Sasa toka saa 12 jioni hadi muda huu, nimezunguka kwenye supermarket na maduka ya vipodozi lakini hawana na wengine hata hawaijui kabisa.

Nimejaribu kuongea na dogo, nae anadai alinunua kwa mchuuzi aliyekuwa akitembeza mtaani.

Sijui nifanye nini na sioni mbadala wa hiyo dawa. Sijawai tumia dawa ya meno kama hii.

Plz msaada.




JPEG_20200524_204137_823594634.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waulizie wajisiliamali wanaotembeza bidhaa mitaani huwa wanakuwa nazo sana
 
Waulizie wajisiliamali wanaotembeza bidhaa mitaani huwa wanakuwa nazo sana
Sawa.
lakini wajasiliamali wapi?.

Nimekua Bored na kukata tamaa baada ya kuzunguka supermarket kadhaa bila mafanikio.

Nimejaribu kuingia Gugo, nako hakuna hakuna majibu maelezo kwamba ofisi zao tz wapi.

zaidi nilichoajua ni Brand ya Ali baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa.
lakini wajasiliamali wapi?.

Nimekua Bored na kukata tamaa baada ya kuzunguka supermarket kadhaa bila mafanikio.
Nimejaribu kuingia Gugo, nako hakuna hakuna majibu maelezo kwamba ofisi zao tz wapi.
zaidi nilichoajua ni Brand ya Ali baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo dawa wanaouza wanaagiza nje ya nchi ni kampuni moja ivi jina limenitoka Kwahiyo wajisiliamali mali waliojisajili tu na kampuni iyo ndio wanakuwa na dawa hiyo.

Huwezi kuipata kirahisi wanafanya ivyo ili wawe wanauza kwa wateja maalumu kila inapoisha unawapigia simu wanakuletea wanakuwa na bidhaa adimu sana, endelea kuwaliza wanaozunguka mitaani huwenda ukampata 1 ukajenga connection usikate tamaa
 
Izo dawa wanaouza wanaagiza nje ya nchi ni kampuni moja ivi jina limenitoka Kwaiyo wajisiliamali mali waliojisajili tu na kampuni iyo ndio wanakuwa na dawa iyo huwezi kuipata kirahisi wanafanya ivyo ili wawe wanauza kwa wateja maalumu kila inapoisha unawapigia simu wanakuletea wanakuwa na bidhaa adimu sana, endelea kuwaliza wanaozunguka mitaani huwenda ukampata 1 ukajenga connection usikate tamaa
Shukrani sana
 
Back
Top Bottom