Mshangazi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,143
- 4,462
Eti vile vivulana vya hapa mnisaidie kwamba kama ukimnunulia mtu simu ndo unampangia na jinsi ya kuitumia, unamchagulia na mitandao ya kujiunga na unataka ujue na Nickname yake ya JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dhereuEti vile vivulana vya hapa mnisaidie
Hata mi najiuliza yupo wapi ila naona kama ndio yeye katika moja na mbili pia nanusa dalili ya kulizwa kwa vijana mida si mrefu kwa ID hii ya dada maua.Hivi aliendaga wapi huyu Unique Flower
Teheeeeee pole Kwa kubanwa mbavuEti vile vivulana vya hapa mnisaidie kwamba kama ukimnunulia mtu simu ndo unampangia na jinsi ya kuitumia, unamchagulia na mitandao ya kujiunga na unataka ujue na Nickname yake ya JamiiForums
Vivulana...😂😂😂😂Eti vile vivulana vya hapa mnisaidie kwamba kama ukimnunulia mtu simu ndo unampangia na jinsi ya kuitumia, unamchagulia na mitandao ya kujiunga na unataka ujue na Nickname yake ya JamiiForums
Maliziaa mahiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ilaaa[emoji23]
😂😂hata nguvu sinaMaliziaa mahiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Eti vile vivulana vya hapa
Naombaa nikuongezee plz, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata nguvu sina
ntashukuru mahiNaombaa nikuongezee plz, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya tekeleza sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ntashukuru mahi