Ahahahahahaha weweeeee
Nimekumiss sana njoo dm nikupe mamba ya simu nikuskie sum zako zilivyo
Ukimaliza uje an huku unapitwaaa STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
Story za watoto hizo, shangazi yenu nimezeeka hazinihusu.Basi shangazi yetu Wewe njoo huku usome mana huku haunt grisi ya kutupaa STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
Yeye ana umri gani?
Uje na huku best STORY: FUMANIZI LA UKUBWANIWana kuja na wanavyopenda kulelewa MPE pole shosti wako
Sasa ataolewaje ilhali kinachotakiwa kutumika ndoani anakikimbiza kwa kusingizia tumbo la kuhara?, bado hajakua kiakili, akikua ataacha
Ngoja niende nikachek
muda wote uliotumia kuandika hapa tungeshaweka motto mmoja tayari tumboni.unaongea sanaNiaaaaajeeeee!
NAOMBENI mumsaidie huyu mTz halisi mwenzenu ana mateso sana ya moyo
Anatamani KUOLEWA lakini hapati BWANA wa kumuwowaaa...
MTz: Money Penny nahisi kujiua.. marafiki zangu wote wameolewa... woooote wamezaaa. ..woooote wamefunga uzazi wanalea watoto kasoro mimi
Huu ni mwaka wa 14 sina na sijawahi kuwa na boyfriend nilikuwa buzy na shule mpaka PHD nimeipata
Kuja kushtuka nimezama sana kitabuni naambiwa nina ugonjwa wa Fibroids tena za kuondoa haraka na natakiwa kuzaa watoto haraka mana nikiondoa nikakaa bila kuzaa watoto zitarudi tenaaa
Sasa mtu wa kuzaa nae sina wanaume wote umri wangu na wakubwa wote walishaoa wanalea
Nikapita pita kwa marafiki kuuliza jinsi walivyowapata hao waume zao.. kiukweli njia walizotumia zote kwangu zitahitaji grisi la maana doh penny njia zao zote sitaweza
Marafiki zangu wote walipita shortcut njia zifuatazo
1. wengine waliozalishwa wakaolewa...
2. wengine waliolewa walishaikatikia sanaaa...
3. wengine waliolewa walishashusha engine mara 3....
4. wengine waliolewa kwa kwenda kwa waganga....
5. wengine waliolewa baada ya kutoa show zote za kimalaya
6. Wengine waliolewa kwa kuruka sana ukuta (sio ukuta Huu wa nyumba ule ukuta wet. .. kiru!)
7. Wengine walitumia nguvu kuvurga mahusiano ya muda mrefu wakakaa tu hapo na ndoa ilivyofungwa mambo yakawa hayaendi wakaamua kutengana. .. basi tu shogangu alitaka kutoa nuksi ya kuolewa na baada ya miaka 5 kupita kaolewa tena na mzunguuu
doh nikasema hapa Penny sio pangu nikijiangalia mimi michezo ya baba na mama niliiacha form 4 nahisi nipo sealed!
Nafanyaje Penny, nimesoma hadithi zako zooote nimefanya kama ulivyoshauri lakini waaap... Huu mwaka wa 2 natendea kazi ushauri wako lakini darasa nimeshalifeli
Sijui nina gundu maana kanisani Mchungaji ameniombea mpaka mdomo wake ushapindaaa. ..
nimetabiriwa na manabii weee mpaka natamani kuwapiga maweee wale manabii nikiwaona...mwaka 2017 ndio Huu ushaishaaa bado nipo singo
Miaka tu inakatika Penny sina hata wa kuniambia mambo nafanyaje penny nazidi kuchanganyikiwa 2018 naingia 35 gonjwa la fibroid linazidi kupandaaaa naogopa kutolewa kizazi nimeambiwa fibroids zimeota pabaya nisipotoa mwisho wa siku wataondoa kizaziii
Nataka nizae watoto wangu lakini nazaa na nani?
Tatizo langu lingine mimi huwa ni mwogaa... juzi kati hapa nilipewa bwashee wa kipare aniamshie dude nikakimbiaaa naogopaaa tulishapimwa kila kitu kwenda hotel nikakimbiaaa nasingizia tumbo la kuharaaa
Penny nakufa miee si bora tu Yesu achomoze tusepe, haya mateso yangu ni zaidi ya Jehanam ya moto wa milele
Yeleuwiiii wana JF mnamsaidiaje Mzalendo mwenzenuuu....
help me help her abeg abeg! Nahisi nimeishiwa na grisi ghaflaa
Hamna mwaka JF nae anataka kuoa hana beibe nimpe huyu dada
Ps:
Yupo vizuri kifedha jamaa fursa hii
Poa poaUje na huku best STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
Mimi sio lara 1 thoughUandishi wako unanikumbusha lara 1.
Kwak hapanaStory za watoto hizo, shangazi yenu nimezeeka hazinihusu.
Hivi kweli katika hilo haujaona ushauri?
35 ukiingia mwaka 2018Yeye ana umri gani?
Si ndio hapo sasa, anaogopa kuto.mbwa ataolewa halafu ataishije na mumewe bila kutiwa? Atazaaje pasipo kutandikwa mbollo? Labda akapandikizwe mbeguNami swali langu ni hilo. Kama anakimbiza uchi wake atazaaje?
Awe mvumilivu atapata tu.35 ukiingia mwaka 2018