Msaada, anawashwa ukeni na amekutwa na UTI, je atakuwa na tatizo lingine?

aksante mkuu
 
Atakuwa na huo UTI na maradhi ya Fangasi sehemu zake za siri mpeleke Hospitali atibiwe asipo pona kwa dawa za hospitali,nitafute mimi nipate kumtibia kwa dawa zangu za asili na atapona hayo maradhi yote mawili. Ukihitaji tiba toka kwangu . Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Habari wakuu?
Naamini humu ndan kuna daktari wa binadam wengi tu,mi ninaomba mwenye taaliuma na anafanya kazi ktk hospitali yoyote mbeya na iringa tuwasiliane nina tatizo binafsi ili nipate msaada wake. Asante
 
shukran, takutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…