Habari wana jamvi nahitaji msaada, Kuna mtu anataka kunitumia iPad kwa njia ya EMS je TRA watanikata kodi? Maana najua kwamba computer hazina kodi vipi kuhusu hili?
Habari wana jamvi nahitaji msaada, Kuna mtu anataka kunitumia iPad kwa njia ya EMS je TRA watanikata kodi? Maana najua kwamba computer hazina kodi vipi kuhusu hili?
Utalipia niliagiza mwaka jana nililipa 80,000/ sijui kwa sasa,kama upo Dar nenda posta mpya kitengo cha vifurushi(parcel) kutana na dada mmoja anaitwa Rehema atakupa full detail
Utalipia niliagiza mwaka jana nililipa 80,000/ sijui kwa sasa,kama upo Dar nenda posta mpya kitengo cha vifurushi(parcel) kutana na dada mmoja anaitwa Rehema atakupa full detail