Msaada anayeifahamu hii bodi(kasneb)

mzee wa manzese

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
670
Reaction score
216
kuna hii body inaitwa kenya accountant and secretary national examination body,nina kijana wangu kamaliza chuo anataka kujiunga hii body kufanya mituhani ya certified securities and investment analysis(CSIA)swali langu je hii body inatambulika hapa kwetu Tanzania,na akiwa na hicho cheti ni sawa na CPA(T)
nawasilisha wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…