Msaada: Anayejua dawa, sabuni, mafuta au lotion inayoweza kuondoa upele, mabaka na chunusi usoni

Msaada: Anayejua dawa, sabuni, mafuta au lotion inayoweza kuondoa upele, mabaka na chunusi usoni

Ndugu zangu naombeni anaejua dawa, sabuni, mafuta au lotion inayoweza kuondoa upele uson na chunusi.

Kiukweli uso wangu umetokewa na upele mwingi naombeni msaada.
 
Hii apa
 

Attachments

  • 1692948799551.jpg
    1692948799551.jpg
    53.8 KB · Views: 6
Mkuu Travellerman wakati wanakushauri hayo mengine, naomba uanze tumia viazi mviringo (wengine huita viazi mbatata),

Chukua kiazi kimoja chenye ukubwa wa wastani, osha vyema, menya kisha kwangua (tumia kwangulio la karoti),

Kisha fanya kama unamasejia uso, rudia hivyo mpaka uone yale maji maji ya kiazi yamekwisha yamebaki yale makapi tu..!!

Acha usoni kwa masaa kuanzia mawili na kuendelea, kisha nawa uso wako vyema, uache bila kupaka chochote kwanza, hii itafaa zaidi ikiwa inafanyika usiku..!!

Ukiamka asubuhi, utaona tofauti, rudia zoezi hili mara kwa mara, utaona matokeo ya haraka zaidi, kila la kheri..!!
 
Mkuu Travellerman wakati wanakushauri hayo mengine, naomba uanze tumia viazi mviringo (wengine huita viazi mbatata),

Chukua kiazi kimoja chenye ukubwa wa wastani, osha vyema, menya kisha kwangua (tumia kwangulio la karoti),

Kisha fanya kama unamasejia uso, rudia hivyo mpaka uone yale maji maji ya kiazi yamekwisha yamebaki yale makapi tu..!!

Acha usoni kwa masaa kuanzia mawili na kuendelea, kisha nawa uso wako vyema, uache bila kupaka chochote kwanza, hii itafaa zaidi ikiwa inafanyika usiku..!!

Ukiamka asubuhi, utaona tofauti, rudia zoezi hili mara kwa mara, utaona matokeo ya haraka zaidi, kila la kheri..!!
Shukran sana malkia Carleen
 
Ndugu zangu naombeni anaejua dawa, sabuni, mafuta au lotion inayoweza kuondoa upele usoni mabaka na chunusi.

Kiukweli uso wangu umetokewa na upele mwingi naombeni msaada
Njoo nkupe black soap kwa 10k tu ndani ya week na nusu leta majibu
 
unataka utumie salicylic face wash na niacinamide face cream na vitamin c serum karibu nikuhudumie products zote ni Ph balance
 
Tafuta dove ya ile ya tango angalia kuna fake pia dove original box zake ni vile vidogo kwenye maduka ya cosmetics au supermarket zinapatikanana yaani utang'aa mpaka kila mtu atakushangaa utakuwa mwarabu mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa mwarabu tena mkuu sitaki kujichubua mkuu
 
Back
Top Bottom