Msaada: Anayejua gharama za kuprint gazeti na kampuni zinazoprint gazeti naomba anijulishe

Joined
Aug 8, 2015
Posts
23
Reaction score
8
Natumaini umu nitapata wahusika wenyewe au mtu anayejua gharama za kuprint gazeti Kama mfano ijumaa,kiu au Nipashe na mengineyo,naomba anijulishe pia na hizo kampuni zinazoprint

Asanteni
 
Natumaini umu nitapata wahusika wenyewe au mtu anayejua gharama za kuprint gazeti Kama mfano ijumaa,kiu au Nipashe na mengineyo,naomba anijulishe pia na hizo kampuni zinazoprint

Asanteni

Kampuni ya mwananch wana print, na masmun stationary wanaprint pia bei ndo sijajua ukitakakufungua gazeti utupe nafas pia Nimesomea hyo fani.
 
Mm ni graphic designer naweza kukudizaini gazeti lako tukakusave na kukufanyia printing ngoja nizungumze na anayetoa quotation za bei zake kisha nitakwambia bei mkuu
ma
natumaini umu nitapata wahusika wenyewe au mtu anayejua gharama za kuprint gazeti kama mfano ijumaa,kiu au nipashe na mengineyo,naomba anijulishe pia na hizo kampuni zinazoprint

asanteni
 
Naona unataka kuwahi Mafuriko ya Fedha za Kampeni. Hongera
 
Mm ni graphic designer naweza kukudizaini gazeti lako tukakusave na kukufanyia printing ngoja nizungumze na anayetoa quotation za bei zake kisha nitakwambia bei mkuu
ma
ekeni mambo wazi na sisi tujue gharama za kuprint gazeti moja bei gani. Maana hata mimi kwa mfano hiyo ni moja ya ndoto zangu. Ko mtasaidia pia wengine.

Ningependa pia unifahamishe gharama kwa upande wa vitabu kama unafaham
 
sijajua unataka uchapishiwe vitabu vya aina gani ? kuwa wazi kuhusu vitabu nitajua namna ya kukujibu

ingia pm kwa maelezo zaidi
ekeni mambo wazi na sisi tujue gharama za kuprint gazeti moja bei gani. Maana hata mimi kwa mfano hiyo ni moja ya ndoto zangu. Ko mtasaidia pia wengine.

Ningependa pia unifahamishe gharama kwa upande wa vitabu kama unafaham
 
ladyfurahia kuepuka mtu mwingine kuja kuuliza maswali hayihayo unaonaje muweke mambo hadharani badala ya kwenda PM.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…