Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Strategis wako poa sanaWakurungwa, Je, unafahamu kampuni ya Bima ya Afya (Health Insurance) yenye Package nzuri hapa Tanzania.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
uzuri upi unaongelea mkuuWakurungwa, Je, unafahamu kampuni ya Bima ya Afya (Health Insurance) yenye Package nzuri hapa Tanzania.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Ambayo hata unaweza kuwa referred kutibiwa nchi kama India etc. NHIF ni wasumbufu hasa likija suala la kupata kibaliuzuri upi unaongelea mkuu
Asante sana Medical Insurance – Strategis Insurance (T) Ltd NawatafutaStrategis wako poa sana
Unausema huu:Kuna uzi uko humu wa NEHEMIA KILAVE utafute wameelezea vizuri sana wadau
Kumbe hawapokei wastaafuStrategis wako poa sana
Kumbe hawapokei wastaafu
Tuombe msaada wa KALINZI NYUMBANI au kyagata ambao ni wajuzi wa hiyo bimaHao strategis kifurushi chao ni shilingi ngapi ambach....
Yes ndio huuUnausema huu:
Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :- -NHIF -ASSEMBLE -STRATEGIES -JUBILEE -Cigna -BRITAM -BUPA -UAP -HEALIX -WCF -CHF -Aetna -NSSF Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida...www.jamiiforums.com