Msaada anayejua tiba ya flatulence/ tumbo kujaa gesi

Msaada anayejua tiba ya flatulence/ tumbo kujaa gesi

Jamani anayejua tiba ya tumbo kujaa gesi naomba anisaidi
Mkuu hivihivi itakua ngumu kukusaidia. Labda ungesema dalili kukumba wakati upo mzima mpaka tumbo linapoanza kujaa?
Au ukila nn gesi inajaa??
Maumivu yoyote ya tumbo au kuumwa kwa mda mrefu?

Dadavua gesi inaanzaje kujaaa wakat wewe ni mzima?
 
Pole tumia kula kijiko kimoja cha mafuta ya nyonyo utumie mara moja tu lkn uwe mazngira ya nyumbani make utaharisha kidogo ,alafu baada ya hapo kama litaendelea kusumbua utarudia tena baada ya sku 3
 
Pole tumia kula kijiko kimoja cha mafuta ya nyonyo utumie mara moja tu lkn uwe mazngira ya nyumbani make utaharisha kidogo ,alafu baada ya hapo kama litaendelea kusumbua utarudia tena baada ya sku 3
Asante..... Mafuta ya nyonyo nitayatoa wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom