Mkawo Member Joined May 26, 2012 Posts 61 Reaction score 60 Apr 18, 2019 #1 Wakuu polen na mihangaiko ya hapa na pale naomba kujua juu ya biashara ya kubet. Gharama ya kununua mashine na commision yake ikoje ni hayo tu!
Wakuu polen na mihangaiko ya hapa na pale naomba kujua juu ya biashara ya kubet. Gharama ya kununua mashine na commision yake ikoje ni hayo tu!
dvj nasmiletz JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 2,079 Reaction score 2,254 Apr 18, 2019 #2 Nafasi ya 1 hapa
Proffesor JF-Expert Member Joined Aug 13, 2014 Posts 2,164 Reaction score 2,968 Apr 18, 2019 #3 G89luck said: Wakuu polen na mihangaiko ya hapa na pale naomba kujua juu ya biashara ya kubet. Gharama ya kununua mashine na commision yake ikoje ni hayo tu! Click to expand... Kuna jukwaa humu la ku bet nadhan itakusaidia limeandikwa "wazee wa ku bet"
G89luck said: Wakuu polen na mihangaiko ya hapa na pale naomba kujua juu ya biashara ya kubet. Gharama ya kununua mashine na commision yake ikoje ni hayo tu! Click to expand... Kuna jukwaa humu la ku bet nadhan itakusaidia limeandikwa "wazee wa ku bet"
L Laki Si Pesa JF-Expert Member Joined Dec 20, 2018 Posts 5,085 Reaction score 9,022 Apr 18, 2019 #4 unalipwa asilimia 15 ya pesa ya tiketi itakayonunuliwa
Mkawo Member Joined May 26, 2012 Posts 61 Reaction score 60 Apr 19, 2019 Thread starter #5 Laki Si Pesa said: unalipwa asilimia 15 ya pesa ya tiketi itakayonunuliwa Click to expand... asante mkuu gharama za kununua mashine je?
Laki Si Pesa said: unalipwa asilimia 15 ya pesa ya tiketi itakayonunuliwa Click to expand... asante mkuu gharama za kununua mashine je?
iphonex82 Senior Member Joined Apr 16, 2019 Posts 107 Reaction score 144 Apr 23, 2019 #6 Laki Si Pesa said: unalipwa asilimia 15 ya pesa ya tiketi itakayonunuliwa Click to expand... PREMIER BET wanalipa 5%
Laki Si Pesa said: unalipwa asilimia 15 ya pesa ya tiketi itakayonunuliwa Click to expand... PREMIER BET wanalipa 5%