Ni kwamba ukiunganishwa king'amuzi inasoma kama kawaida ila screen ndogo kama inavyoonekanaWakuu habari,
Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida. Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo sielewi ina maana gani. Natanguliza shukrani
Hyo alama ni ya ethernet. Inataka u connect ethernet cable kwaajili ya internetWakuu habari,
Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida.
Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo sielewi ina maana gani.
View attachment 1688270View attachment 1688271Natanguliza shukrani
Pia ungesoma Manual yako upate maelekezo ya jinsi ya kuresetWakuu habari,
Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida.
Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo sielewi ina maana gani.
View attachment 1688270View attachment 1688271Natanguliza shukrani
Internet ipi tena jamani 😂?!Hyo alama ni ya ethernet. Inataka u connect ethernet cable kwaajili ya internet
In
Internet ipi tena jamani [emoji23]?!
Pole sana mkuu ila siku nyengine ukienda dukani upitege humu uulize kwanza. SOLSTAR waachie wauze rangi tu, luninga sio fani yao.Wakuu habari,
Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida.
Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo sielewi ina maana gani.
View attachment 1688270View attachment 1688271Natanguliza shukrani
Pole sana mkuu ila siku nyengine ukienda dukani upitege humu uulize kwanza. SOLSTAR waachie wauze rangi tu, luninga sio fani yao.
TV's ni PANASONIC, SONY, LG, SAMSUNG, TCL & HISENSE!!! Hutakaa upate hayo matatizo ya kustack.
Sony, TCL & Hisense wao wana Official Android TV! Haitakaa istack sababu imekuwa designed for TV.Niko na Hisence hapa ni One Touch[emoji16]
hahahhahahahaIn
Internet ipi tena jamani 😂?!
hizi brands zinatumika basi tu ila ni one useless piece of crapMo Electro, Star-X, Soyi, Solstar, Aborder
Sony, TCL & Hisense wao wana Official Android TV! Haitakaa istack sababu imekuwa designed for TV.
Sasa zile brand za matopeni kina Mo Electro, Star-X, Soyi, Solstar, Aborder & Co. wao android yao ni kama ya simu ndio wameifixia kwenye kioo kikubwa tu. Hayo ma Stack Overflow hayakosekanagi sababu ya poor memory optimisation.
Ungefeli sana yani, bora ulisanda mapema.Nilishitukia mapema sana hizi Android Tv za kichina ni miyeyusho.
Si android TV hyo ina connect kwenye internet. Unahisi ile alama pale juu ni ya nini?In
Internet ipi tena jamani [emoji23]?!
TBS wangekuwa wanafanya kazi yao kwa weledi kimsingi zisingekuwepo sokonihizi brands zinatumika basi tu ila ni one useless piece of crap
Ina connect wakati internet hakuna wala cable haijapachikwa? Solstar ni Tecno TV iliochangamkaSi android TV hyo ina connect kwenye internet. Unahisi ile alama pale juu ni ya nini?
Nadhani hujaelewa kabisa. Jamaa kauliza ile icon ni ya nini pale juu nikamjibu ni icon ya ethernet. Inaonesha kma imekuwa connected au la. Kwake hapo inaonesha haipo connected. Simple kma hvo, akiconnect ethernet cable itabadilika status na ku connect kwenye internet. Mimi nimeongelea hlo tuIna connect wakati internet hakuna wala cable haijapachikwa? Solstar ni Tecno TV iliochangamka