Msaada: Any idea ya Written Interview Afisa Ustawi wa Jamii Daraja la II?

Msaada: Any idea ya Written Interview Afisa Ustawi wa Jamii Daraja la II?

Joined
Oct 14, 2012
Posts
15
Reaction score
18
Wataalamu mambo vipi, kuna ndugu yangu aliomba nafasi kama Thread tittle inavyojieleza hapo juu hivi karibuni na tarehe 18 ya Jumamosi anatakiwa akafanye usaili (Written)

Nilikuwa naomba kwa mwenye Idea yoyote au vitu vya msingi vya ku- focus key intention hapa ni kufaulu maana nimekuwa nikiona discussions nyingi humu zinakatisha tamaa kwamba maswali ya written utumishi huwa yanakuwa magumu.

Nahitaji kupata idea na kumtia moyo ili akajaribu bahati yake.

Shukrani sana
 
Hata mimi nlikua na shida hii hii na me nmechaguliwa interview ila sijapata muangaza mpaka saaa kuhusu written na watu wametunyamazia jamani[emoji22]
 
Nimechowapendea ni kuw hawajaita watu wengi kuwapoteze hela
 
Back
Top Bottom