Msaada: Aquos sense 5G laini inasoma emergency call only

Msaada: Aquos sense 5G laini inasoma emergency call only

Ramuz_store

Member
Joined
Feb 13, 2024
Posts
8
Reaction score
3
Habari Wakuu. Naomba msaada Nina Aquos sense 5G, inachangamoto kwenye internet, niliagiza 2nd hand from Dubai nilipoweka laini mara ya kwanza ikadai PIN nikamcheki supplier akaniomba nimtumie IMEI akanitumia PIN ikakubali, baada ya hapo Nika reset shida tena ikaanza kwenye kusoma lain, muda wote inaandika EMERGENCY CALL ONLY. Baada yakumcheki jamaa mara ya pili hajanijibu hadi leo ni zaidi ya mwezi sasa.
 
Habari Wakuu. Naomba msaada Nina Aquos sense 5G, inachangamoto kwenye internet, niliagiza 2nd hand from Dubai nilipoweka laini mara ya kwanza ikadai PIN nikamcheki supplier akaniomba nimtumie IMEI akanitumia PIN ikakubali, baada ya hapo Nika reset shida tena ikaanza kwenye kusoma lain, muda wote inaandika EMERGENCY CALL ONLY. Baada yakumcheki jamaa mara ya pili hajanijibu hadi leo ni zaidi ya mwezi sasa.
Yote hayo ya nn wakati kuna tecno
 
Habari Wakuu. Naomba msaada Nina Aquos sense 5G, inachangamoto kwenye internet, niliagiza 2nd hand from Dubai nilipoweka laini mara ya kwanza ikadai PIN nikamcheki supplier akaniomba nimtumie IMEI akanitumia PIN ikakubali, baada ya hapo Nika reset shida tena ikaanza kwenye kusoma lain, muda wote inaandika EMERGENCY CALL ONLY. Baada yakumcheki jamaa mara ya pili hajanijibu hadi leo ni zaidi ya mwezi sasa.
Hahahahahah 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hivi vituko Sasa!!

Fanya ule hasara tu :ACTINUP:
 
Simu inaitwa AQUOS.😆😆.
Nyingine inaitwa Docomo.
Bora tecno
Aqous Iko poa ila hiyo model ni mbaya mnoo
images (17).jpeg
 
hayo ndio Mateso ya kununua simu used yalivyo.. mnafikiri mtumiaji wa mwanzo ni mpumbavu aiteme simu yake nzima iliyo kwenye hali nzuri ili uletewe wewe mu Africa uitumie kwa bei nafuu

kama huna hela ya kununua simu mpya brand kubwa Ni bora ujinunulie zako tecno ama infinix.

Mdogo wangu anafanya kazi polisi msimbazi.. kila siku wanapokea malalamiko ya watu zaidi ya 50 wanalalamika wametapeliwa kwa kuuziwa simu used mbovu pale pale kariakoo hasa kwenye maduka ya simu used.

Polisi huwa wanacheka na kuwatimua kwamba hiyo ni kesi ya madai haiwahusu.
 
Habari Wakuu. Naomba msaada Nina Aquos sense 5G, inachangamoto kwenye internet, niliagiza 2nd hand from Dubai nilipoweka laini mara ya kwanza ikadai PIN nikamcheki supplier akaniomba nimtumie IMEI akanitumia PIN ikakubali, baada ya hapo Nika reset shida tena ikaanza kwenye kusoma lain, muda wote inaandika EMERGENCY CALL ONLY. Baada yakumcheki jamaa mara ya pili hajanijibu hadi leo ni zaidi ya mwezi sasa.
Ninayo mashine yake njoo na ofa yako, yangu imekufa kioo
 
Habari Wakuu. Naomba msaada Nina Aquos sense 5G, inachangamoto kwenye internet, niliagiza 2nd hand from Dubai nilipoweka laini mara ya kwanza ikadai PIN nikamcheki supplier akaniomba nimtumie IMEI akanitumia PIN ikakubali, baada ya hapo Nika reset shida tena ikaanza kwenye kusoma lain, muda wote inaandika EMERGENCY CALL ONLY. Baada yakumcheki jamaa mara ya pili hajanijibu hadi leo ni zaidi ya mwezi sasa.
Ni 5G tu ama 3G/4G/5G zote hazisomi?

To be safe eka 3G only maana tunashea band moja ya 3G karibia Dunia nzima.

Pia angalia Imei ipo? Na ukisearch Tcra inasoma simu yako?

Kama vya juu vipo sawa probably ni network lock, inabidi utafute mtaalam wa kutoa lock preferably jamaa wa box wale,
 
Ni 5G tu ama 3G/4G/5G zote hazisomi?

To be safe eka 3G only maana tunashea band moja ya 3G karibia Dunia nzima.

Pia angalia Imei ipo? Na ukisearch Tcra inasoma simu yako?

Kama vya juu vipo sawa probably ni network lock, inabidi utafute mtaalam wa kutoa lock preferably jamaa wa box wale,
Hivi mkuu hapo akipiga ROM mpya si tatizo linatoka au vp.
 
Hivi mkuu hapo akipiga ROM mpya si tatizo linatoka au vp.
Kama ni network lock haitoki, unless iliwekwa kizembe zembe,

Pia simu za Aquos ni za Japan most of time ni za mitandao ya simu kama docomo zinakua na locked bootloader, ngumu ku root na kuweka custom rom unless ina ka upenyo ambacho hawajaziba.
 
hayo ndio Mateso ya kununua simu used yalivyo.. mnafikiri mtumiaji wa mwanzo ni mpumbavu aiteme simu yake nzima iliyo kwenye hali nzuri ili uletewe wewe mu Africa uitumie kwa bei nafuu

kama huna hela ya kununua simu mpya brand kubwa Ni bora ujinunulie zako tecno ama infinix.

Mdogo wangu anafanya kazi polisi msimbazi.. kila siku wanapokea malalamiko ya watu zaidi ya 50 wanalalamika wametapeliwa kwa kuuziwa simu used mbovu pale pale kariakoo hasa kwenye maduka ya simu used.

Polisi huwa wanacheka na kuwatimua kwamba hiyo ni kesi ya madai haiwahusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom