Ahm bokee leh
Member
- Aug 28, 2013
- 22
- 1
Kwa wanaaru na yeyote mwenye uelewa kuhusiana na swala la medical capitation fee inakuwaje kwa wale tunaotumia bima za taifa tunapaswa kuilipia hiyo fee au 2tatumia bima zetu za nhif moja kwa moja? Naomba msaada wako