Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti ni kabila gani?Baada ya binti kubeba ujauzito wangu kwa takribani siku kadhaa sasa nataka niende kwao nikajitokeze kama mhusika. Kwa Wale wazoefu wa haya mambo naombeni mwongozo naanzaje kujipanga Kama mhusika pili nitakapokwenda kwao
Mtoto ni mtoto tu..Kabla ya kwenda kujitambulisha kaa chini jitafakari sana sana kama mimba yako kweli maana nina ushuhuda wa mtu aliyewahi kupigwa faini ya 300,000 kwa kumpa binti ujauzito kabla ya ndoa na mahali ya milioni 2 alafu akajaga kugundua mimba alisingiziwaa
Hawa watu siku hizi wamekuwa kama jeshi wanapiga kote kote wakikukosa angani, nchi kavu wanapiga majini ya kwa kifupi ni vita lazima ujipange sana psychological.Baada ya binti kubeba ujauzito wangu kwa takribani siku kadhaa sasa nataka niende kwao nikajitokeze kama mhusika. Kwa Wale wazoefu wa haya mambo naombeni mwongozo naanzaje kujipanga Kama mhusika pili nitakapokwenda kwao
Kha😹Kabla ya kwenda kujitambulisha kaa chini jitafakari sana sana kama mimba yako kweli maana nina ushuhuda wa mtu aliyewahi kupigwa faini ya 300,000 kwa kumpa binti ujauzito kabla ya ndoa na mahali ya milioni 2 alafu akajaga kugundua mimba alisingiziwaa
Mkuu ilikuwaje mwishoni kaka.Kabla ya kwenda kujitambulisha kaa chini jitafakari sana sana kama mimba yako kweli maana nina ushuhuda wa mtu aliyewahi kupigwa faini ya 300,000 kwa kumpa binti ujauzito kabla ya ndoa na mahali ya milioni 2 alafu akajaga kugundua mimba alisingiziwaa