MSAADA:Baada ya kuomba ushauri Humu Nimenunua injini mpya ya Corola 110

MSAADA:Baada ya kuomba ushauri Humu Nimenunua injini mpya ya Corola 110

Joined
Jul 15, 2018
Posts
96
Reaction score
50
Siku chache zilizopita niliomba msaada baada ya injini ya gari langu kusumbua,nimeamua kununua injini nyingine,msaada kutoka kwenu wadau ni kwamba,ni mambo gani niyazingatie wakati wa kuifunga injini hii mpya ili isinisumbue ukizingatia histolia ya gari kuwa ilikuwa imekaa muda mrefu bila kutummika?Natanguliza shukrani.
 
Kwa kuanzia,badilisha oil filter,badilisha petrol filter,engine oil ningekushauri anza na BP,plug ikiwezekana nazo weka mpya,then anza safari...
 
Siku chache zilizopita niliomba msaada baada ya injini ya gari langu kusumbua,nimeamua kununua injini nyingine,msaada kutoka kwenu wadau ni kwamba,ni mambo gani niyazingatie wakati wa kuifunga injini hii mpya ili isinisumbue ukizingatia histolia ya gari kuwa ilikuwa imekaa muda mrefu bila kutummika?Natanguliza shukrani.
mbona bei kubwa au umechukua full na gia box
 
overhaul haikufaa!!??
Siku chache zilizopita niliomba msaada baada ya injini ya gari langu kusumbua,nimeamua kununua injini nyingine,msaada kutoka kwenu wadau ni kwamba,ni mambo gani niyazingatie wakati wa kuifunga injini hii mpya ili isinisumbue ukizingatia histolia ya gari kuwa ilikuwa imekaa muda mrefu bila kutummika?Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom