Habari za wakati huu ndugu zangu namiini mko salama
Baba yangu mzazi ana tatizo ya kwamba akiumwa mafua basi damu huwa zinamtoka nyingi sana puani, hata sasa ninapoandika haya basi damu ndo mfululizo hebu niambieni jamani tatizo litakuwa ni nini na tunawezaje kumsaidia? ahsanteni