msaada BACH YA ELECTRONICS AND COMMUNICATION ENGINEERING

Joined
Dec 29, 2011
Posts
17
Reaction score
4
Waungwana naombeni msaada mdogowangu kachaguliwa kozi hii vipi ndugu zangu katika maisha ya kibongo anaweza ikamfaa,sina maarifa kuhusu kozi za eng. please.
 
Waungwana naombeni msaada mdogowangu kachaguliwa kozi hii vipi ndugu zangu katika maisha ya kibongo anaweza ikamfaa,sina maarifa kuhusu kozi za eng. please.

Mbona unamsingizia mdogo ako?? Okey..Hiyo haina tofauti na telecommunication eng. Na kama sikosei inatolewa st. Joseph campus ya dar!! Akasome ni kozi nzuri na ajiandae kusoma!!!
 
Nashukuru kwa michango yenu ila sio kwamba namsingizia mdogo wangu ,kijana yupo JKT kwa sasa ,nashukuruni sana kwa msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…