Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kma ni kwenye banda basi wanapungukiwa madini fulani,hali hii huwakuta bata ambao hawatembei yaani wako cagedUnawalea vip hao Bata.............kisasa au kienyeji?
Tang Day 1 ulikuwa unawapa chakula ganKma ni kwenye banda basi wanapungukiwa madini fulani,hali hii huwakuta bata ambao hawatembei yaani wako caged
Nina banda zuri ambalo nimefugia bata for a long time. sasa hili sijawahi liona kwenye bata miaka yote niliyofuga bata. NawafungiaUnawalea vip hao Bata.............kisasa au kienyeji?
2 monthsWana umri gani hao bata
walianza na stater, then baada ya wiki 6 nikawapa mchanganyiko wa grower na mahindi membamba/punje ndogo, majani, lukina, mashudu ya alizeti ...mchanganyiko kama huoTang Day 1 ulikuwa unawapa chakula gan
madini gani niwa supplementKma ni kwenye banda basi wanapungukiwa madini fulani,hali hii huwakuta bata ambao hawatembei yaani wako caged
Wape calcium ama DCP.Kanunue duka la dawa za mifugoNi tatizo gani na matibau yake ni yapi. Tafadhali mwenye fununu
Chakula unachowapa inawezekana wanakosa madini ya calcium na phosphorus.Nina banda zuri ambalo nimefugia bata for a long time. sasa hili sijawahi liona kwenye bata miaka yote niliyofuga bata. Nawafungia
asante kwa ushauri. nitaleta mrejeshoWape calcium ama DCP.Kanunue duka la dawa za mifugo
mara chache. Nawapa mahindi +dagaa+lukina+aliseti mashudu+majani.Chakula unachowapa inawezekana wanakosa madini ya calcium na phosphorus.
Je huwa unawapa chakula chenye virutubisho hivyo mfano dagaa
Tena ukienda kwa duka waambie wakushauri kipimo cha kuwapa maana pia ukiwapa nyingi inasababisha udumavu kwenye ukuaji.Wape calcium ama DCP.Kanunue duka la dawa za mifugo
Ukiwap hyo ndani ya siku tatu wanakuwa sawa.Ilishanitokea hiyoasante kwa ushauri. nitaleta mrejesho
Basi jaribu kuwapatia kwa wingi pia hakikisha wanapata mwanga wa juamara chache. Nawapa mahindi +dagaa+lukina+aliseti mashudu+majani.
It might be possible maana dagaa ni mara chache
asante. Nimetuma tayari calcium fort. Inafaa?Ukiwap hyo ndani ya siku tatu wanakuwa sawa.Ilishanitokea hiyo
nimeagiza calcium fort as of nowBasi jaribu kuwapatia kwa wingi pia hakikisha wanapata mwanga wa jua