Nasikiaga ana tabia ya kuzira mayai au hata kutotaga kabisa kama kuna MTU au adui anayemtatiza wakati wa utagajiMkuu fanya iv nenda kazibe pale wanapo tagia alafu chukua yai weka sehemu unayo itaka ww kama chambo baada ya siku kadha kila mmoja atakuwa na sehemu yake ya kutaga lkn kama mayai yao unatumia kwa biashara mbona akuna shida yoyote ile Mkuu
Yai atakaloligusa kwa mikono yake lazima litaoza hata kabla halijaanza kuatamiwa, na kuna uwezekano likayaozesha hata na yale mengine yatakayokuja kutagwa baadaye. Mayai yanayotagwa kwa ajili ya kutotolesha vifaranga kwa njia ya asili yakiguswa na binadamu huwa yanaozaMkuu fanya iv nenda kazibe pale wanapo tagia alafu chukua yai weka sehemu unayo itaka ww kama chambo baada ya siku kadha kila mmoja atakuwa na sehemu yake ya kutaga lkn kama mayai yao unatumia kwa biashara mbona akuna shida yoyote ile Mkuu