KARIAKOO kama ndo wale masharo asubirie 0 coz pale imekaa vibaya TOWN inawafaa arts.ila kama mgumu kwa kuweka ngumu fresh
Me nmepga pale kwa comb za science hakuna k2 labda business en artsUsisikilize maneno ya watu ambao usikute wanapitaga kwa nje tu.
1.Kitaaluma ni kawaida i.e kama shule nyingine za serikali.
2. Performance inategemea na juhudi binafsi. Mfano: form 6 mwaka huu aliyeongoza maths kitaifa katoka pale. Kama ni msomaji anatoka.
3. Hostel zipo, maeneo ya jirani. Kuna Al-Haramain pale nyuma ya Benja. Pia kuna hostel za msimbazi kwa girls.
4. Jirani na mchikini ambapo kitovu cha masomo ya tuition, kama ataweza kuafford.
Usisikilize maneno ya watu ambao usikute wanapitaga kwa nje tu.
1.Kitaaluma ni kawaida i.e kama shule nyingine za serikali.
2. Performance inategemea na juhudi binafsi. Mfano: form 6 mwaka huu aliyeongoza maths kitaifa katoka pale. Kama ni msomaji anatoka.
3. Hostel zipo, maeneo ya jirani. Kuna Al-Haramain pale nyuma ya Benja. Pia kuna hostel za msimbazi kwa girls.
4. Jirani na mchikini ambapo kitovu cha masomo ya tuition, kama ataweza kuafford.
Labda ulikuwa shallow mkuu. Mimi pia nimepiga pcm na nimetusua fresh. Alaf kitu kingine, shule za serikali zote sawa tu. Changamoto ni zile zile. Ukitaka shule nzuri labda umpeleke private.Me nmepga pale kwa comb za science hakuna k2 labda business en arts