Msaada: Biashara ndogo ndogo Kenya na Tanzania

Msaada: Biashara ndogo ndogo Kenya na Tanzania

1800

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
2,215
Reaction score
604
Wadau naomba kuelimishwa juu ya ni aina gani ya biashara ndogo ndogo naweza fanya kati ya Tanzania na Kenya!kifupi nilikua naomba msaada juu ya bidhaha gani nazoweza pata Kenya ki urahisi na ambazo soko lake Tanzania ni kubwa na pia ni bidhaha gani ambazo demand yake Kenya ni kubwa ila zinapatikana rahisi zaidi nchini Tanzania!asanteni wadau
 
Wengi nawaona wanaofanya biashara hizo ni wanawake wanauza vitenge na sandals za ngozi........Jaribu Hizo
 
Wengi nawaona wanaofanya biashara hizo ni wanawake wanauza vitenge na sandals za ngozi........Jaribu Hizo

Asante mkuu...target yangu kubwa ni agro products,it stuffs,stationaries na phones & accessories,hiyo ya vitenge na sandals ni wazo zuri ila ni kama inawafaa zaidi dada na mama zetu kama ulivyogusia
 
Karanga na Dengu zina soko sana huko Mombasa, Kenya. Ila wananua in Bulk, kuanzia tani moja onwards. sio kagunia kamoja
 
Wadau naomba kuelimishwa juu ya ni aina gani ya biashara ndogo ndogo naweza fanya kati ya Tanzania na Kenya!kifupi nilikua naomba msaada juu ya bidhaha gani nazoweza pata Kenya ki urahisi na ambazo soko lake Tanzania ni kubwa na pia ni bidhaha gani ambazo demand yake Kenya ni kubwa ila zinapatikana rahisi zaidi nchini Tanzania!asanteni wadau

Funga safari nenda Kenya. Kaangalie nini kipo kule na hakipo bongo and vice versa, then rudi jipange, na uanze biashara ya utakavyoviona vinakosekana kila upande.
 
Karanga na Dengu zina soko sana huko Mombasa, Kenya. Ila wananua in Bulk, kuanzia tani moja onwards. sio kagunia kamoja

Asante sana mkuu,ngoja nijipange nikafanye research ili nipate mwanga pa kuanzia!
 
Funga safari nenda Kenya. Kaangalie nini kipo kule na hakipo bongo and vice versa, then rudi jipange, na uanze biashara ya utakavyoviona vinakosekana kila upande.

Ushauri mzuri mkuu,asante sana!
 
Wadau naomba kuelimishwa juu ya ni aina gani ya biashara ndogo ndogo naweza fanya kati ya Tanzania na Kenya!kifupi nilikua naomba msaada juu ya bidhaha gani nazoweza pata Kenya ki urahisi na ambazo soko lake Tanzania ni kubwa na pia ni bidhaha gani ambazo demand yake Kenya ni kubwa ila zinapatikana rahisi zaidi nchini Tanzania!asanteni wadau

Biashara bubi mwenyewe. Watakuingiza chaka humu! Alafu ungetoa mapendekezo yako na kamtaji kako. Bidhaa na si bidhaha ni nyingi lamsingi opportunity.
 
Biashara bubi mwenyewe. Watakuingiza chaka humu! Alafu ungetoa mapendekezo yako na kamtaji kako. Bidhaa na si bidhaha ni nyingi lamsingi opportunity.

Asante mkuu,mimi mtazamo wangu ni kufanya biashara za nafaka kwa maana ya vyakula na phones pamoja na accessories zake,ila sina uzoefu sana mkuu,ndio maana nikaomba ushauri kwa wadau kama nyie!kamtaji kangu ni kadogo,ni kama 2 million only!
 
sasa kama ndo hivyo findi a friend akuchukulie dubai au china hizo electronics maana usiione kenya kama inatofautiana na kariakoo kivile. Pia utasumbuliwa na kodi. nafaka TZ ni nyingi hasa ukifanikiwa kuzitoa Mkoa hd Dar, utafanya biashara nzr. au chukua shamba mlandizi ufuge.
 
Back
Top Bottom