Wengi nawaona wanaofanya biashara hizo ni wanawake wanauza vitenge na sandals za ngozi........Jaribu Hizo
Wengi nawaona wanaofanya biashara hizo ni wanawake wanauza vitenge na sandals za ngozi........Jaribu Hizo
Wadau naomba kuelimishwa juu ya ni aina gani ya biashara ndogo ndogo naweza fanya kati ya Tanzania na Kenya!kifupi nilikua naomba msaada juu ya bidhaha gani nazoweza pata Kenya ki urahisi na ambazo soko lake Tanzania ni kubwa na pia ni bidhaha gani ambazo demand yake Kenya ni kubwa ila zinapatikana rahisi zaidi nchini Tanzania!asanteni wadau
Mzee una maneno wewe !!!!!!!!! Kwa hiyo lazima awe mmama?
Wadau naomba kuelimishwa juu ya ni aina gani ya biashara ndogo ndogo naweza fanya kati ya Tanzania na Kenya!kifupi nilikua naomba msaada juu ya bidhaha gani nazoweza pata Kenya ki urahisi na ambazo soko lake Tanzania ni kubwa na pia ni bidhaha gani ambazo demand yake Kenya ni kubwa ila zinapatikana rahisi zaidi nchini Tanzania!asanteni wadau
Biashara bubi mwenyewe. Watakuingiza chaka humu! Alafu ungetoa mapendekezo yako na kamtaji kako. Bidhaa na si bidhaha ni nyingi lamsingi opportunity.