Njoo Singida mkuu tufanye kazi ndio kazi ninayofanya mimi inalipa mno.naomba kama kuna mtu anajua kuhusu biashara ya Alizeti na upatikanaji wa soko anielekeze nataka kujiajiri..
Njoo Singida mkuu tufanye kazi ndio kazi ninayofanya mimi inalipa mno.
hiv kwa morogoro haziwez kustawi