Msaada biashara ya asali toka Tabora

Franky

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2012
Posts
2,270
Reaction score
2,844
Wakuu naombeni msaada wenu, ivi hii biashara ikoje? Namaanisha katika sekta zifuatazo;

1. Upatikanaje wake. Kwa waliofika Tabora na wenye ufahamu wa biashara hii ,je inapatikana kwa bei kiasi gani?

2. Usafiri kutoka mahali mzigo ulipo mpaka kufika Tabora mjini na usafirishaji wake mpaka jijini Dar esa salaam.

3. Vibali vinavyohusika na usafirishaji wa biashara hii ya maliasili Ikiwemo gharama zake.

4. Faida yake ,especially kwa mtu aliyewahi kufanya biashara hii directly.


Msaada wenu wakuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…