T Technohama Member Joined May 2, 2014 Posts 14 Reaction score 1 Nov 18, 2014 #1 Habari wadau. Naomba msaada juu ya biashara ya Drycleaning. Ningependa kujua hasa juu ya gharama za mashine na jinsi nnavyoweza kuagiza kutoka nje pamoja na kodi za TRA au kama hapa Tanzania zinapatikana. Natanguliza shukrani.
Habari wadau. Naomba msaada juu ya biashara ya Drycleaning. Ningependa kujua hasa juu ya gharama za mashine na jinsi nnavyoweza kuagiza kutoka nje pamoja na kodi za TRA au kama hapa Tanzania zinapatikana. Natanguliza shukrani.