Za jioni ndugu jamaa na marafiki.
Naomben msaada wenu wakina.
Nina mtaji wa 250,000/= nataka kufanya biashara ya kahawa na nipo Dar es salaam. Kabla sijaanza ningependa kuuliza maswali yafwatayo÷
*UPANDE WA MUUZAJI*
1/Mauzo kwa siku ni bei gani (kahawa na kashata) na hesabu kwa tajir bei gani?
2/je malazi ya muuzaji ni juu ya bosi au anajitegemea?
*UPANDE WA TAJIRI/MWENYE BIASHARA*
1/gharama ya vyombo (sinia la kashata, birika, vikombe) na vinapatikana wapi?
2/gharama za kahawa, kashata, mkaa na tangawizi kwa siku ni kiasi gani?
3/je kama malazi ya wafanyakazi wake ni juu ya tajiri. Je gharama za chakula? Na matibabu?
4/ili biashara iwe na faida na ilipe inahitaj vijana wangapi wa kufanya kazi?
5/changamoto zikoje kwa upande wa
A)usimamizi?
B)mfanyakazi kutoroka na vitendea kazi?
C)mfanyakazi hajaleta hesabu?
Naomben msaada wenu wakina.
Nina mtaji wa 250,000/= nataka kufanya biashara ya kahawa na nipo Dar es salaam. Kabla sijaanza ningependa kuuliza maswali yafwatayo÷
*UPANDE WA MUUZAJI*
1/Mauzo kwa siku ni bei gani (kahawa na kashata) na hesabu kwa tajir bei gani?
2/je malazi ya muuzaji ni juu ya bosi au anajitegemea?
*UPANDE WA TAJIRI/MWENYE BIASHARA*
1/gharama ya vyombo (sinia la kashata, birika, vikombe) na vinapatikana wapi?
2/gharama za kahawa, kashata, mkaa na tangawizi kwa siku ni kiasi gani?
3/je kama malazi ya wafanyakazi wake ni juu ya tajiri. Je gharama za chakula? Na matibabu?
4/ili biashara iwe na faida na ilipe inahitaj vijana wangapi wa kufanya kazi?
5/changamoto zikoje kwa upande wa
A)usimamizi?
B)mfanyakazi kutoroka na vitendea kazi?
C)mfanyakazi hajaleta hesabu?