Msaada: Biashara ya kahawa na kashata

magogu

New Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
2
Reaction score
1
Za jioni ndugu jamaa na marafiki.
Naomben msaada wenu wakina.
Nina mtaji wa 250,000/= nataka kufanya biashara ya kahawa na nipo Dar es salaam. Kabla sijaanza ningependa kuuliza maswali yafwatayo÷

*UPANDE WA MUUZAJI*
1/Mauzo kwa siku ni bei gani (kahawa na kashata) na hesabu kwa tajir bei gani?
2/je malazi ya muuzaji ni juu ya bosi au anajitegemea?

*UPANDE WA TAJIRI/MWENYE BIASHARA*
1/gharama ya vyombo (sinia la kashata, birika, vikombe) na vinapatikana wapi?
2/gharama za kahawa, kashata, mkaa na tangawizi kwa siku ni kiasi gani?
3/je kama malazi ya wafanyakazi wake ni juu ya tajiri. Je gharama za chakula? Na matibabu?
4/ili biashara iwe na faida na ilipe inahitaj vijana wangapi wa kufanya kazi?
5/changamoto zikoje kwa upande wa
A)usimamizi?
B)mfanyakazi kutoroka na vitendea kazi?
C)mfanyakazi hajaleta hesabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…