UGOKO MKAVU
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 202
- 78
Baada ya kuumiza kichwa kufikiri ni biashara gani nitakayoianzisha ikifuatiwa na kufanya utafiti, nimepata sehem flani ambayo inafaa sana kwa biashara hii hivyo nina mpango wa kumiliki hizo tents kwa ajili ya kukodisha kwenye sherehe, misiba, mikutano na hafla nyinginezo. Napendelea kuanza na tents 3.
Naomba kujuzwa yafuatayo:
1. Je gharama ya kutengeneza tent moja ni sh ngap?
2. Gharama za kukodisha kwa siku
3. Masharti anayopewa mtu anayekodi
4. Viti vingapi vinahitajika kwa kila tent?
5. Mengineyo yanayohusu hiyo biashara
NB: Nikifanikisha huu mradi nitakuwa wa kwanza na pekee kutoa huduma hii kwenye eneo husika na nitasaidia wengi ukizingatia mahitaji ni makubwa.
Shukrani.
Naomba kujuzwa yafuatayo:
1. Je gharama ya kutengeneza tent moja ni sh ngap?
2. Gharama za kukodisha kwa siku
3. Masharti anayopewa mtu anayekodi
4. Viti vingapi vinahitajika kwa kila tent?
5. Mengineyo yanayohusu hiyo biashara
NB: Nikifanikisha huu mradi nitakuwa wa kwanza na pekee kutoa huduma hii kwenye eneo husika na nitasaidia wengi ukizingatia mahitaji ni makubwa.
Shukrani.