Ndugu zangu za mida naomba kwa yeyote aliwahi kutumia machine za betting kama sehemu yake ya biashara anisaidie.
Ninafikiria kufanya biashara hiyo hivyo nilikuwa naomba mnisaidie niweze kujua biashara hiyo kwa undani.
Kama vile changamoto,faida pia vitu gani vinaweza kukupa hasara katika biashara hivyo kama umakini hauto zingatiwa.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninafikiria kufanya biashara hiyo hivyo nilikuwa naomba mnisaidie niweze kujua biashara hiyo kwa undani.
Kama vile changamoto,faida pia vitu gani vinaweza kukupa hasara katika biashara hivyo kama umakini hauto zingatiwa.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app