J jino Member Joined Dec 21, 2013 Posts 33 Reaction score 12 Sep 13, 2017 #1 Ndugu zangu za mida naomba kwa yeyote aliwahi kutumia machine za betting kama sehemu yake ya biashara anisaidie. Ninafikiria kufanya biashara hiyo hivyo nilikuwa naomba mnisaidie niweze kujua biashara hiyo kwa undani. Kama vile changamoto,faida pia vitu gani vinaweza kukupa hasara katika biashara hivyo kama umakini hauto zingatiwa. Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu za mida naomba kwa yeyote aliwahi kutumia machine za betting kama sehemu yake ya biashara anisaidie. Ninafikiria kufanya biashara hiyo hivyo nilikuwa naomba mnisaidie niweze kujua biashara hiyo kwa undani. Kama vile changamoto,faida pia vitu gani vinaweza kukupa hasara katika biashara hivyo kama umakini hauto zingatiwa. Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
sergio 5 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 9,405 Reaction score 10,637 Sep 13, 2017 #2 Beti kwanza acha kutaka kufanya biashara haramu