Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu ngazi ya degree, nina uzoefu wa uhasibu wa miaka miwili katika kampuni binafsi hapa Geita. Nina lengo la kuanza biashara ya kuwasaidia wafanya biashara wadogo wadogo kutunza hesabu zao. Na kuwawezesha kujua taarifa na riport za bihashara zao kila wiki,mwezi,na mwaka. Mwenye uzoefu wa biashara hii anisaidie na naomba Mawazo ya wadau.