Soma vizuri post yako na rekebisha ulipo kosea ilete maana lengwa.
Wazo lako ni zuri hiyo niliwahi kumuona jamaa mmoja msoma anaitwa kaiza, anafanya ulivyo waza, yeye alikua anawatembelea wenye maduka na kuwaelezea anacho fanya, kwamba anawapangia mahesabu mzigo ingia na mauzo kwa wiki na mwezi katika daftari mbili moja ni kwaajiri ya tra wakija na la pili lina data halisi abapo linamuongoza mmiliki ktk kukuza biashara na kukopea bank, ingawa italipa kama utakua na wateja wengi.