Asante sana, ila nimeshapata connection ya Uganda na ni very Simple.Mimi ninayo bei 80000 jumla 90000 rejereja. Kama itakulipa njoo inbox
Nauza shuka za uganda kwa balo
Linakua na set 20
Shuka 40
FOronya 80
Balo moja Tsh 650,000
Karibuni sana
#0699306065
INSTAGRAM @dollrubii_decors
Mtumba ila kule serikali haijaweka kodi za kipuuzi so ni very cheap. Huku SISIEMU wanatoza kodi hata nguo ulizovaa.Hivi hayo mashuka nikwamba yanatengenezwa huko huko Uganda au yanatoka China yanaingia Uganda?
Mtumba ila kule serikali haijaweka kodi za kipuuzi so ni very cheap. Huku SISIEMU wanatoza kodi hata nguo ulizovaa.
Bongo nyosoNimeiona hii hali hata zambia. Zambia wanachukua mzigo kutoka China wanatumia banadari yetu bado wanasafirisha mzigo kwa malori zaid ya kilomita 2000 na bado bei za bidhaa zao ziko chini. Kiatu tunachouziwa elfu80 Dar zambia kinauzwa elfu38. It’s Where We Dare To Talk Openly!