bank
Senior Member
- Jan 9, 2011
- 158
- 24
Habarini wadau,Mimi nataka nianze biashara ya kuuza nanasi hapa dar kwani naona kama ndio msimu umeanza maana nimeona kuna maeneo washaanza kumwaga
Naombeni mwenye kujua zinakopatikana kirahisi kwa bei ya jumla na nafuu kwani nataka nichue mfano canter moja na kuja kuzimwaga eneo lenye wapitaji wengi na kuanza kuuza kwa mtindo huo
Noambeni sana mwenye taarifa zaidi anisaidie naamini na wengine watafaidi pia
Asanteni
Naombeni mwenye kujua zinakopatikana kirahisi kwa bei ya jumla na nafuu kwani nataka nichue mfano canter moja na kuja kuzimwaga eneo lenye wapitaji wengi na kuanza kuuza kwa mtindo huo
Noambeni sana mwenye taarifa zaidi anisaidie naamini na wengine watafaidi pia
Asanteni