Nyamtala Kyono
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 163
- 34
Ifanye iwe classical kwa gud finishing, avoid short time, kua na walau pair tatu za shuka
ni nayo yangu lah! inanipasua ubongo! balaa ispokuwa mara utakapoianzisha sahau kukosa elfu 10/20/30 mfukoni pia ni jinsi gani utaweza kudhibiti wafanyakazi wako,maana vitanda havisemi kaka! sio kama utaweza fanya stocking kama bia/tatizo kuibiwa au ukae hapo ambacho ni kitu kigumu sana! kwa mwangaikaji!
habari wana jamvi....nina nyumba ambayo wakati naendelea na michakato nikapata wazo la kuibadilisha matumizi iwe lodge. Ningependa tupeane mawazo mbalimbali jinsi biashara hii inavyofanyika,hasa mapato yapatikanayo kila siku. Kwa mfano kama kwa mfano napata 50,000 per day je natakiwa nizichukue nizi bank mwenyewe au vizuri ni kusubiri baada ya siku 2 au 3 au 7? Na vp naweza kudhibiti wizi na udanganyifu wa wafanyakazi na mengineyo. Na vp kuhusu idadi ya wafanyakazi wanaohitajika kwa lodge ya vyumba 7 mpaka 8? Tushauriane
Unaweza Kuifanya Kuwa Hostel Ya Wanafunzi Kama Unaogopa Kuibiwa.Kama Ni Logde Weka Wafanyakazi 5.Mlinzi Wa Usiku Mmoja.Wasichana Wawili Wa Kusafisha.Mmoja Usiku Na Mmoja Asubuhi. Mpokea Wageni Receiption Wawili Mmoja Mchana Na Mwingine Usk.[/QUOTe
ntafanyia kazi hiyo...thanx
lakini vp kaka inalipalipa?mi target yangu ni kupata angalau profit ya 750.000 kwa mwezi.itasaidia kuongezea income ya mshahara. majukumu mengi mkuu na familia inakua...soon watoto wataanza kindergarten na pre school
short sasa ndio hela yenyewe ktk lodge!
Weka kamera mapokezi
ni plan njema/hv wakiijulia hawawezi kuichezea au mfumo wake wa ufanyaji kazi ukoje?Kudhibiti wizi ni rahisi,funga kamera mapokez na kwenye korido kuu.
nawashukuru sana kwa michango yenu ngoja niendelee na hii plan ntawapa feedback nikifanikiwa kuanza. location naona sio mbaya. mwanzo niliplan kuwa na wafanyakazi wawili tu ila nimeona watatu ndio watatosha sababu ya rotation. kwa sababu ya uzuri wa vyumba average price nimeona iwe kama 10.000 per room per day
Mkuu kwa bei hiyo ya 10,000 kama ni Dar tegemea maumivu,kwasababu zifuatazo:-
Sasa kwa bei ya 10,000 kwa vyumba saba labda kama hiyo sehemu itakuwa kwaajili ya wanaoingia na kutoka. kama ni sehemu ya watu wanaolala hutaiona faida garama za eundeshaji zitakuwa kubwa faida itakuwa ndogo sana.
- Biashara hii matumizi ya maji ni makubwa (maji safi/ kunyonya maji taka)
- Garama za umeme kama itakuwa na AC.
- Hotel leavy
- TRA
- Mishahara ,Sabuni n.k.
nimekadiria kama ifuatavyo.
kwa siku:
tra........sh.2000
mishahara....15000
umeme....2000
sabuni na maji....5000
emergency....sh 6000
total cost per day....sh 30.000
mapato per day:
kwa vyumba nane ....sh 80.000
occupancy rate nimeweka iwe 70%
hii ni sh. 56.000.
net income per day...56.000-30.000=26.000
kwa mwezi.... 26.000x30=780.000
at the lowest
reception 2 usiku 1 na mchana 1.Camera zipo za satelaiti unaona ukiwa popote eitha nyumbani kwako.resepshn&usafi 1na mlinzi1wanatosha