Msaada: Biashara ya Nyumba ya Wageni (Guest House) imekaaje?

Bosi nakuja PM
 
Mkuu ulifungua lodge na hata layman's idea ya marketing Huna? Sasa wape mawakala wakufanyie kazi uwape commission.
 
Ukiwa tayari nina kijana anaweza kufanya kazi ya Sales & Marketing pia ana jua na uzoefu wa hotel management.If interested njoo PM.
 
Una wazo kama langu ila njia nzuri nafikiri ni kutumia watalaamu wenye uzoefu pia matangazo na huduma bora

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
mkuu kwa ushauri nenda kwenye exhibition nenda na vipeperushi with your services and rate kuna ile ya Arusha "Karibu Trade Fair " ila ilishaisha maana ni June mwanzoni ndo utakutana na wadau .Kingine nenda kwenye travel/voyage forums kama trip advisor, lonelyplanet,guide du routard ....na nyinginezo ujitangaze watakutafuta. Pia ungeenda kwa hawa local tour operators ambao wanapata watalii wanaofanya direct booking ili wawe wanakuletea wageni. Lastly wasiliana na watu wa chama cha hotels ujisajiri ila membership utakuta kubwa maana lengo lao ni ku-exclude wazawa washindwe .The unawekwa kwenye publications zao ambazo zinapelekwa kwenye tourism exhibitions kubwa duniani. Hayo machache
 
Tafuta ushauri kwa mtu anae manage hoteli hasa za 2/3 star ambazo zinapokea watalii au wageni wa nje pia. Pili tafuta tours operators waliopo Dar na zungumza nao wanaweza kuwa wanapitisha wageni wao hapo kwa malazi wakati wanawa safirisha kwenda sehemu mbali mbali. Kingine inategemea unaweza kujisajili kwenye mitandao ya kimamataifa ya ku book hoteli / lodges kama www.booking.com. www.tripadvisor.com
Ni muhimu pata ushauri kwa mtu mzoefu na hawa nadhani wapo wengi Dar
 
Wakuu naomba kuuliza hivi mmiliki wa guest house anapataje faida kwenye biashara yake? Je, huwa anampa msimamizi target ya hela kila siku au weekly? Kwasababu msimamizi anaweza kodisha vyumba 10 akasema pungufu.

Msaada wenu kwenye uelewa wa hili.
 
Muda wowote unapata chumba cha kujipumzisha
 
Lazima uwe unafanya patrol ya kushitukiza,unafika unamuuliza umejaza.?,akisema bado omba funguo na pitia chumba hadi chumba vilivyo wazi,
usiwe na mda maalumu wa kuja ili Receptionist wasikusome wakajua mda unaokuja,
 
Lazima uwe unafanya patrol ya kushitukiza,unafika unamuuliza umejaza.?,akisema bado omba funguo na pitia chumba hadi chumba vilivyo wazi,
usiwe na mda maalumu wa kuja ili Receptionist wasikusome wakajua mda unaokuja,
Asante kk
 
Kaa mwenyewe kwa muda wa mwaka.., utajua peak times na slow times na utajua average ya mapato kwa siku, mwezi na mwaka..., ukimuachia mtu ikiwa pungufu ni either hajui kazi (customer care) au ni mwizi..., hivyo vyote ni vigezo vya kutafuta mwingine
 
Funga Camera kila chumba

show tiime zikapigiwe choooni

ila mteja akitumia tu kitanda DAI PESA yako ukja kufata hesabu

Bila camera Utalizwa mpk ukione,labda ukae mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…