T Tobido JF-Expert Member Joined Sep 28, 2010 Posts 331 Reaction score 76 Dec 1, 2013 #1 Habari Wadau. Nna wazo la kufanya biashara ya usafi kwa maofisi kwa kufungua kampuni ya usafi. Naomba mchango wenu wazoefu wa biashara hii hasa uendeshaji wake na jinsi ya kupata clients. Thanks in advance.
Habari Wadau. Nna wazo la kufanya biashara ya usafi kwa maofisi kwa kufungua kampuni ya usafi. Naomba mchango wenu wazoefu wa biashara hii hasa uendeshaji wake na jinsi ya kupata clients. Thanks in advance.
T Tobido JF-Expert Member Joined Sep 28, 2010 Posts 331 Reaction score 76 Dec 3, 2013 Thread starter #2 Mbona kimya jamani. pia nataka kutoa huduma ya zoa taka pia. naomba wazoefu tushee ideas.
sexologist JF-Expert Member Joined Dec 5, 2010 Posts 2,276 Reaction score 976 Dec 3, 2013 #3 Jamani waungwana mbona mnamchunia jamaa? Msaidieni bana. Post ina ck 3 hamumshauri.. Dah! Jf wabaguzi eeh... Na we mtoa mada umeingia vibaya kha!! Ungeweka maelezo ya kutosha na begging language!
Jamani waungwana mbona mnamchunia jamaa? Msaidieni bana. Post ina ck 3 hamumshauri.. Dah! Jf wabaguzi eeh... Na we mtoa mada umeingia vibaya kha!! Ungeweka maelezo ya kutosha na begging language!