Msaada: Biashara ya uwakala wa LUKU

Matumaini

Member
Joined
Jul 31, 2008
Posts
49
Reaction score
8
Habari wana JF! Naomba nifahamishwe kuhusu taratibu za kufuata ili kuwa wakala wa Luku. Pia malipo kati ya wakala na Tanesco yapo kwa utaratibu gani. Pamoja na experience mbalimbali za wajasiriamali wanaofanya biashara hii. Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…